logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wafahamu mastaa wa Kenya wanaowatumbuiza wakenya wakiwa Ughaibuni

Watumbuizaji wengi Wakenya ambao wamehama kutoka nchini wameonekana kupendelea kuishi Marekani.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri07 June 2023 - 10:37

Muhtasari


•Baadhi ya Wakenya wanaoishi nje ya nchi wameendelea kuburudisha wananchi wenzao kwenye mitandao tofauti ya kijamii.

Licha ya kuwa mbali, baadhi ya Wakenya wanaoishi nje ya nchi wameendelea kuburudisha wananchi wenzao kwenye mitandao tofauti ya kijamii.

Watumbuizaji wengi Wakenya ambao wamehama kutoka nchini wameonekana kupendelea kuishi Marekani.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved