Tazama alichokisema Christiano Ronaldo kuhusu ligi mbalimbali

Christiano alifanya mahojiano ambapo alidhalilisha ligi nyingine za Ulaya na kutambua EPL pekee.

Muhtasari

•Ronaldo alidai kuwa Ligi ya Saudia ni bora zaidi kuliko ligi ya MLS ambapo mpinzani wake mkuu Lionel Messi anacheza kwa sasa.

Alichokisema Christiano Ronaldo kuhusu ligi mbalimbali
Image: WILLIAM WANYOIKE