Fahamu timu kubwa za Ulaya ambazo zitaanza msimu 2023/24 na manahodha wapya

Chelsea, Liverpool, ManCity, Real Madrid, Barcelona ni baadhi ya timu zitakazokuwa na manahodha wapya baada ya manahodha malejendari kuondoka.

Muhtasari

• Manchester United na Borussia Dortmund watakuwa na manahodha wapya baada ya manahodha wa awalia kuvuliwa au kujivua unahodha.

• Maguire alipokonywa kitambaa cha unahodha huku Marco Reus akijivua cheo hicho.

Vilavu vya ulaya na manahodha wapya
GRAFIKI Vilavu vya ulaya na manahodha wapya
Image: ROSA MUMANYI