logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Tazama Wakenya mashuhuri na 'mapacha' wao wa kimataifa

Wakenya wamevutiwa na mshambulizi wa Uingereza, Lauren James ambaye wengi wanaamini anafanana sana na mwanahabari Betty Kyallo.

image
na Radio Jambo

Habari07 August 2023 - 11:37

Muhtasari


•Wakenya wamevutiwa na mshambulizi matata wa Uingereza, Lauren James ambaye wengi wanaamini anafanana sana na mwanahabari Betty Kyallo.

•Baadhi ya Wakenya wengine mashuhuri akiwemo waziri wa zamani Fred Matiang’i, mwanahabari Joshua Arap Sang, Njugush na wengine pia wamelinganishwa na mastaa wengine mashuhuri wa kimataifa.

Katika siku kadhaa za hivi majuzi, kipindi cha mashindano ya kombe la dunia ya wanawake yanayoendelea, macho ya Wakenya wengi yamevutiwa na mshambulizi matata wa timu ya taifa ya wanawake ya Uingereza Lauren James ambaye wengi wanaamini anafanana sana na mwanahabari Betty Kyallo.

Wakenya wengi wameshangazwa na mfanano mkubwa kati ya Betty Kyallo na dada huyo na beki wa kulia wa Chelsea, Recce James.

Hapo awali, baadhi ya Wakenya wengine mashuhuri akiwemo waziri wa zamani Fred Matiang’i, mwanahabari Joshua Arap Sang, Njugush na wengine pia wamelinganishwa na mastaa wengine mashuhuri wa kimataifa.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved