Muhtasari
• Jumatatu kulikuwa na vita vya maneno mitandaoni baada ya Khaligraph kudai kuwa Diamond aliiga wazo lake la miaka 6 iliyopita.
• Kwa tamaduni za Kiafrika, kutumia jeneza kwa ajili ya matumbuizo hukemewa vikali kwani ni kama njia moja ya kuapiza kifo.