Marais wa Afrika waliotawala kipindi kifupi zaidi

Christopher Okoro Cole wa Sierra Leone alihudumu kama rais kwa siku mbili Aprili 1971 .

Muhtasari

• Yusuf Lule alitawala Uganda baada ya mapinduzi ya mwezi Aprili, 1979, lakini pia akapinduliwa baada ya siku 68.

• Tito Okello alihudumu kama rais wa Uganda kwa takriban miezi sita kutoka  kati ya Julai 1985 – Jan 1986.

• Mohamed Morsi wa Misri  alishinikizwa kutoka mamlakani baada ya mwaka mmoja. 

Image: William Wanyoike