Tazama safari ya Jacque Maribe katika uanahabari

Maribe ameteuliwa kuwa mkuu wa mawasiliano mpya katika Wizara ya Utumishi wa Umma, Utendakazi na Usimamizi wa Utoaji Huduma

Muhtasari

•Maribe ambaye ana shahada ya Uandishi wa Habari kutoka UON alianza taaluma yake katika runinga ya K24 mwaka wa 2009.

•Aliteuliwa kuwa mkuu wa mawasiliano katika wizara ya utumishi wa umma siku ya Jumapili baada ya kuondolewa  mashtaka ya mauaji.

wa taaluma ya mwanahabari Jacque Maribe
Muhtasari wa taaluma ya mwanahabari Jacque Maribe
Image: HILLARY BETT