logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Fahamu mambo muhimu kuhusu muigizaji wa Nigeria Amaechi Muonagor na ugonjwa uliomuua

Alifariki akiwa na umri wa miaka 62.

image
na Radio Jambo

Habari25 March 2024 - 11:57

Muhtasari


•Amaechi Muonagor alithibitishwa kufariki  Jumapili, Machi 24  baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa figo kwa muda mrefu.

•Alifariki akiwa na umri wa miaka 62.

muhimu kuhusu Amaechi Muonagor na ugonjwa uliomuua.

Muigizaji Amaechi Muonagor alithibitishwa kufariki  Jumapili, Machi 24  baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa figo kwa muda mrefu.

Alifariki akiwa na umri wa miaka 62.

Vyombo vya habari vya Nigeria vimeripoti kuwa mwigizaji huyo wa vichekesho alikuwa kwenye matibabu ya dialysis kabla ya kifo chake. Alikuwa amepooza kwa sehemu kutokana na ugonjwa wa figo ambao umechukua maisha yake.

Kifo cha muigizaji huyo mkongwe kimekuja siku chache baada ya video kusambaa ambapo alionekana akiomba msaada wa kifedha kutoka kwa Wanigeria ili kumwezesha kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya upandikizaji wa figo.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved