Fahamu baadhi ya bidhaa ambazo hazitozwi ushuru wa VAT nchini Kenya

Serikali inapendekeza kuanzisha ushuru kwa baadhi ya bidhaa ambazo hazijakuwa zikitozwa.

Muhtasari

•Mkate, vifaa vya matibabu, mbolea na soda ni baadhi tu ya bidhaa ambazo hazitozwi ushuru wa VAT nchini Kenya.

ya bidhaa ambazo hazitozwi ushuru wa Kenya.
Baadhi ya bidhaa ambazo hazitozwi ushuru wa Kenya.
Image: WILLIAM WANYOIKE