Mataifa ya Afrika yenye treni za kasi zaidi 2024

Tanzania hivi majuzi walizindua treni ya SGR kutoka Dar es Salaam kuelekea Morogoro yenye uwezo wa kwenda kwa kasi ya 160 Km/hr, ikiipiku SGR ya Kenya yenye kasi ya 120 Km/hr.

Muhtasari

• Red Line ya Nigeria inaongoza kwa kasi zaidi barani Afrika, ikienda kwa kasi ya 330 Km/hr.

Mataifa ya Afrka yenye treni za kasi zaidi
Mataifa ya Afrka yenye treni za kasi zaidi
Image: WILLIAM WANYOIKE