logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Vidokezo vya usalama kwa wanahabari wa kike wanapofuatilia habari kwenye maandamano

Wanahabari pia wanashauriwa kufanya kazi katika makundi na watu wanaowaamini.

image
na Davis Ojiambo

Habari04 July 2024 - 10:00

Muhtasari


  • • Wanahabari wa kike wanashauriwa kutoweka maisha yao kwenye mkondo wa hatari wakati wa maandamano.
  • • Pia, MCK iliwashauri kutembea na firimbi au kengele za ubakaji ili kuwasaidia kupaza sauti endapo tukio la ubakaji au unyanyasaji wa kingono utakapojaribu kutokea kwao.
Vidokezo vya usalama wakati wa maandamano kwa waandishi wa habari wa kike

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved