Muhtasari
•Kamati ya Olimpiki ya Paris imeomba radhi kwa baadhi ya makosa kama vile Korea Kusini kutambulishwa kama Korea Kaskazini, picha ya mfano wa ‘Last Supper' kutumika, na Sudan Kusini kuchezewa wimbo wa taifa usio sahihi.
•Kamati ya Olimpiki ya Paris imeomba radhi kwa baadhi ya makosa kama vile Korea Kusini kutambulishwa kama Korea Kaskazini, picha ya mfano wa ‘Last Supper' kutumika, na Sudan Kusini kuchezewa wimbo wa taifa usio sahihi.