logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mlipuko mkubwa watokea mjini Mogadishu, Somalia

Mlipuko mkubwa ulitokea katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu siku ya Jumatano kwenye barabara inayoelekea uwanja wa ndege.

image
na Radio Jambo

Habari12 January 2022 - 11:25

Muhtasari


• Kulingana na ripoti za Reuters baadhi ya miili ilikuwa ilionekana karibu na eneo la mlipuko.

• Mhudumu wa afya alionekana akimhudumia angalau mtu mmoja aliyejeruhiwa.

Eneo la mlipuko katika wilaya ya Hamarweyne ya Mogadishu, Somalia, Januari 12, 2022. Picha: REUTERS/Feisal Omar

Mlipuko mkubwa ulitokea katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu siku ya Jumatano kwenye barabara inayoelekea uwanja wa ndege. 

Kulingana na ripoti za Reuters baadhi ya miili ilikuwa ilionekana karibu na eneo la mlipuko. Mlipuko huo uliharibu magari manne na tuk tuk mbili.

Hadi wakati wa kuchapisha taarifa hii ilikuwa haijabainika kilichosababisha mlipuko huo. 

Mhudumu wa afya alionekana akimhudumia angalau mtu mmoja aliyejeruhiwa.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved