logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanamume awashtaki wazazi wake kwa kumzaa

Samuel anaomba mahakama iamuru alipwe fidia na wazazi wake.

image
na Radio Jambo

Habari08 June 2022 - 03:15

Muhtasari


•Raphael Samuel ambaye ni mfanyabiashara amesema kuwa haikuwa sahihi kuleta mtoto duniani na kuishia matatizoni maisha yake yote.

Mwanamume awashtaki wazazi wake kwa kumzaa

Mwanamume wa miaka 27 wa India anapanga kuwashtaki wazazi wake kwa sababu hawakuomba ridhaa yake ili azaliwe.

Raphael Samuel, mfanyabiashara mwenye makazi yake Mumbai, aliambia BBC kuwa haikuwa sahihi kuleta mtoto duniani na kuishia matatizoni maisha yake yote.

Anaelewa kuwa haiwezekani kuuliza maono kutoka kwa mtu ambaye hajaja ulimwenguni, lakini anasisitiza ‘’uamuzi wetu sio kuzaliwa’’.

Hatua hiyo inaweza kusababisha mabishano katika familia yoyote, lakini inaonekana familia yake inaifanyia mzaha.

Katika taarifa iliyotolewa na mamake Kavita Karnad Samuel alisema alimpongeza mwanawe kwa kumpeleka mahakamani, akijua kuwa wote ni mawakili.

Samuel anaomba mahakama iamuru alipwe fidia na wazazi wake.

Wazo la mtu huyu linatokana na mtazamo wa kifalsafa kwamba maisha ni magumu, na kwa hiyo ametelekezwa


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved