logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kampuni ya Google yachangia Ksh. 129.45M kwa ajili ya uapisho wa Donald Trump

Google pia imesema itapepereusha matukio ya siku ya uapisho wa Trump moja kwa moja duniani kwote.

image
na Brandon Asiema

Kimataifa10 January 2025 - 14:43

Muhtasari


  • Donald Trump alishinda uchaguzi wa Marekani wa mwaka jana kwa kumpiku naibu wa rais anayeoondoka Khamala Harris
  • Rais huyo mteule ataapishwa mnamo Januari 20, 2025.