Muhtasari
•Samuel Gicheru alikiri mashtaka mbele ya hakimu mkuu mwandamizi wa Kibera Esther Boke siku ya Jumatano.
•Aliiambia mahakama kuwa alijuta sana, lakini akadai yeye ni maskini na ni mtu mwenye familia.
•Samuel Gicheru alikiri mashtaka mbele ya hakimu mkuu mwandamizi wa Kibera Esther Boke siku ya Jumatano.
•Aliiambia mahakama kuwa alijuta sana, lakini akadai yeye ni maskini na ni mtu mwenye familia.