logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Kufaulu kwa familia yangu ni kwa sababu ya mke wangu,'DP Ruto amlimbikizia mkewe sifa

Wawili hao sasa wamekuwa katika ndoa kwa zaidi ya miaka 25.

image
na Radio Jambo

Habari13 July 2021 - 05:33

Muhtasari


  • DP Ruto amlimbikizia mkewe sifa
  • Pia  ni matamanio ya kila wanandoa kuona familia na ndoa yao imedumu
  • Akiwa kwenye mahojiano na Radiojambo Naibu rais William Ruto,alimlimbikizia mkewe sifa kwa kufaulu kwa familia yake

Ni furaha ya kila wanandoa kuona familia na ndoa yao ikiendelea bila ya changamoto zozote au kukosana kati ya wapenzi hao wawili.

Pia  ni matamanio ya kila wanandoa kuona familia na ndoa yao imedumu.

Akiwa kwenye mahojiano na Radiojambo Naibu rais William Ruto,alimlimbikizia mkewe sifa kwa kufaulu kwa familia yake.

Kulingana na Ruto mkewe Rachel amekuwa akimuombea na kumsaidia katika kazi yake, zaidi ya yoe alisema kwamba amekuwa akimuelewa.

Wawili hao sasa wamekuwa katika ndoa kwa zaidi ya miaka 25.

"Kufaulu kwa familia yangu ni kwa sababu ya mke wangu maanake nilipata mke karibu na malaika na ni bahati tu ya Mungu

Kupata mke ambaye anakusaidia, anakuelewa, anakuombea, hapo ndio unapata bahati ya kupiga hatua kwenda mbele." Ruto Alisema.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved