logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Najutia kumchukua mwanamume wa wenyewe-Mwanamke ajuta

Kuna wale huwa wanajiukumu kwa kile wanafanya ama walifanya na kuwa na majuto.

image
na Radio Jambo

Habari25 May 2021 - 10:17

Muhtasari


  • Katika maisha kila mtu lazima awe na majuto ambayo alifanya uamuzi kwa ajili ya jambo moja au lingine
  • Kuna wale huwa wanajiukumu kwa kile wanafanya ama walifanya na kuwa na majuto
  • Mwanamke mmoja alijutia kumchukua mwanamume wa rafikiye, ambaye alimuacha baada ya kumpa kifungua mimba wake
sad woman

Katika maisha kila mtu lazima awe na majuto ambayo alifanya uamuzi kwa ajili ya jambo moja au lingine.

Kuna wale huwa wanajiukumu kwa kile wanafanya ama walifanya na kuwa na majuto.

Mwanamke mmoja alijutia kumchukua mwanamume wa rafikiye, ambaye alimuacha baada ya kumpa kifungua mimba wake.

"Tulikuwa tumeenda sherehe na rafiki yangu, alinitambulisha kwa mumewe, lakini kutooka siku hiyo tulipendana na mumewe

Tulibadilishana namba za simu na baada ya miezi miwili tulianza uhusiano wetu wa kimapenzi, wakati huo sikujali kile rafiki yangu alikuwa anapitia kwani mapenzi yalikuwa yananoga

Kwa sasa najuta sana kumchukua mumewe kwani alinipa mtoto kisha akanitoroka, sitawahi tamani kumchukua mwanamume wa mtu," Alieleza Mwanamke huyo.

Je ni jambo lipi ambalo unajuta kutenda na kufanya maishani mwako?

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved