logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nilibakwa na ndugu yangu mkubwa nikiwa na miaka 7-Mwanamke asimulia

Mwanamke mmoja alisimulia kisa ambacho alikiri hatawahi sahau maishani mwake

image
na Radio Jambo

Habari10 June 2021 - 10:11

Muhtasari


  • Nilibakwa na ndugu yangu mkubwa nikiwa na miaka 7
black-woman-crying-

Visa vy watoto kutoweka, na kubakwa vimezidi kuripotiwa nchini kila kuchao, huku baadhi ya watoto umri wa chini wakipatikana wameuawa.

Ukifanyiwa kisa ukiwa mtoto, na kisa ambacho sio kizuri lazima ata siku zako au miaka yako ya uzeeni ukikumbuke kwani ni kisa ambacho haukukifurahia.

Mwanamke mmoja alisimulia kisa ambacho alikiri hatawahi sahau maishani mwake baada ya yale ndugu yake alimfanyia.

"Ndugu yangu mkubwa alini baka nikiwa na miaka 7, ni jambo ambalo nimejaribu kusahau lakini nimeshindwa nikienda nyumbani sipendi kumuona kwa sababu ya yale alinifanyia

Sitawahi msamehe kwa maana kutoka siku hiyo sikumuona kama ndugu yangu bali nilimuona kama mbakaji," Alieleza mwanamke huyo.

Ni jambo  lipi ambalo ulitendewa na hukusahau na hutawahi sahau.

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved