logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Picha ya siku!Tazama jinsi Eric Omondi alivyojifungia ndani ya mchemraba nje ya Bunge

Wanaume sita waliovalia suti nyeusi, inaonekana walinzi wake, wanazunguka mchemraba huo.

image
na Radio Jambo

Habari09 February 2022 - 13:40

Muhtasari


  • Wanaume sita waliovalia suti nyeusi, inaonekana walinzi wake, wanazunguka mchemraba huo

Mcheshi Eric Omondi amejifungia ndani ya 'mchemraba wa uwazi' nje ya majengo ya bunge katika juhudi za kuwashawishi wabunge kujadiliana kuhusu kuongeza uchezaji wa hewani na maudhui.

Anasema wabunge wanapaswa kuhakikisha hadi asilimia 75 ya muziki na kazi nyingine za kisanii zinazochezwa kwenye TV na redio za Kenya ni maudhui ya ndani.

“Nitabaki hapa hadi watakapoanza mjadala huu ni mgomo wa kula,” alisema.

Wanaume sita waliovalia suti nyeusi, inaonekana walinzi wake, wanazunguka mchemraba huo.

Hizi hapa baadhi ya picha za mcheshi huyo;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved