logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kwa picha: Hali ya ndege iliyopata ajali Ziwa Victoria

Ndege hiyo ilifanikiwa kusogezwa hadi karibu kabisa na ukiongo wa Ziwa Victoria.

image
na Radio Jambo

Makala08 November 2022 - 03:36
Kwa picha: Hali ya ndege iliyopata ajali Ziwa Victoria

Hali ya ndege ya shirika la Precision PW 494 iliyopata ajali siku ya jumapili, baada ya jitihada za wananchi na mamlaka nchini Tanzania, ndege ilifanikiwa kusogezwa hadi karibu kabisa na ukiongo wa Ziwa Victoria. Ndege hiyo ilkua ikitoka Dar es Salaam kwenda Bukoba kupitia Mwanza. Ilipata ajali wakati inakatiria kutua katika uwanja wa mji wa Bukoba.

Precision Air ndiyo shirika kubwa la ndege la kibinafsi la Tanzania na kwa sehemu inamilikiwa na Kenya Airways. Ilianzishwa mnamo 1993 na inaendesha safari za ndege za ndani na kikanda.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved