logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+PICHA)Raila,Kalonzo,Mutua na Ngilu wahudhuria mazishi ya mwendazake Kalembe

Kalembe aliaga dunia mnamo Mei 30 2021, katika hospitali ya Nairobi, baada ya kuugua kwa muda mrefu.

image
na Radio Jambo

Habari11 June 2021 - 12:42

Muhtasari


  • Kalembe aliaga dunia mnamo Mei 30 2021, katika hospitali ya Nairobi, baada ya kuugua kwa muda mrefu
  • Viongozi na wanasiasa waliwaongoza wananchi kumuomboleza Kalembe kwa jumbe zao

Kinara wa ODM Raila Odinga na wa Wiper Kalonzo Musyoka Wamehudhuria mazishi yake aliyekuwa mbunge wa Kibwezi Kalembe Ndile, eneo la Mnui Nzau kaunti ya Makueni.

Gavana Charity Ngilu na Alfred Mutua pia wanahudhuria mazishi hayo ambapo mamia ya wakazi wamefurika.

Kalembe aliaga dunia mnamo Mei 30 2021, katika hospitali ya Nairobi, baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Viongozi na wanasiasa waliwaongoza wananchi kumuomboleza Kalembe kwa jumbe zao.

Viongozi walimuomboleza kama kiongozi aliyewajali wakazi wa Kibwezi na kuwaakilisha ilivyopaswa bungeni.

Hizi hapa baadhi ya picha za hafla hiyo;

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved