logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Jamaa apiga mkewe risasi sita kufuatia mzozo wa mapenzi Nairobi

Baada ya kutekeleza unyama huo jamaa huyo anaripotiwa kukimbia eneo la tukio na kutoweka asijulikane aliko kufikia sasa.

image
na Radio Jambo

Habari15 September 2021 - 06:21

Muhtasari


•Baada ya kutekeleza unyama huo jamaa huyo anaripotiwa kukimbia eneo la tukio na kutoweka asijulikane aliko kufikia sasa.

crime scene 1

Jamaa mmoja aliyeaminika kuua mkewe kufuatia mzozo wa mapenzi katika eneo la Mukuru jijini Nairobi anawindwa na polisi.

Wapenzi hao wanadaiwa kuzozana kwa kipindi kabla ya jamaa kutoa bastola yake na kumpiga mkewe risasi sita.

Baada ya kutekeleza unyama huo jamaa huyo anaripotiwa kukimbia eneo la tukio na kutoweka asijulikane aliko kufikia sasa.

Mwili wa marehemu ulipelekwa katika chumba cha kuhifadhi maiti huku juhudi za kumsaka muuaji zikienedelea.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved