logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+PICHA) Nduguye Gachagua azikwa kaunti ya Nyeri

Kakake Gachagua, James Rerian, alifariki Mei 7, 2022, akiwa na umri wa miaka 78.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri17 May 2022 - 13:38

Muhtasari


  • Kakake Gachagua, James Rerian, alifariki Mei 7, 2022, akiwa na umri wa miaka 78

Ndugu ya mgombea mwenza wa DP Ruto,Rigathi Gachagua  amezikwa hii leo (Jumanne) nyumbani kwake katika kaunti ya Nyeri.

Kakake Gachagua, James Rerian, alifariki Mei 7, 2022, akiwa na umri wa miaka 78.

Wanasiasa kadhaa hasa wa muungano wa Kenya Kwanza waliungana na familia ya Gachagua, ili kumpa ndugu yake heshima za mwisho.

Miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo ni pamoja na, naibu rais William Ruto,William Kabogo,Moses Wetangula miongoni mwa wanaisasa wengine.

Hizi hapa baadhi ya picha za hafla hiyo;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved