Nelson Havi:Si jambo la busara kwa mbunge kubuni kutengwa kwa mawakili kwenye tume za kikatiba

Nani zaidi ya mwanasheria ana nafasi nzuri ya kushauri katika tafsiri na utekelezaji wa Katiba na sheria?"Alisema Havi.

Muhtasari
  • Kulingana na Nelson Havi si jambo la busara kwa mbunge kutafakari na kubuni kutengwa kwa wanasheria kutoka kwa tume za kikatiba au jopo la uteuzi wa wanachama wao
Wakili Havi atetea ukimya wake siku za hivi karibuni
Wakili Havi atetea ukimya wake siku za hivi karibuni
Image: Facebook

Aliyekuwa Rais wa chama cha mawakili nchini LSK Nelson Havi ameonya hatua ya hivi punde ya wabunge kuwatenga mawakili katika masuala ya kikatiba.

Kulingana na Nelson Havi si jambo la busara kwa mbunge kutafakari na kubuni kutengwa kwa wanasheria kutoka kwa tume za kikatiba au jopo la uteuzi wa wanachama wao.

Havi alisema kwamba hamna mtu mwingine mbali na mwanasheria ana nafasi nzuri ya kushauri katika tafsiri na utekelezaji wa Katiba.

"Si jambo la busara kwa mbunge kutafakari na kubuni kutengwa kwa mawakili kwenye tume za kikatiba au jopo la uteuzi wa wanachama wao."

Havi  aliendelea na kuuliza;

Nani zaidi ya mwanasheria ana nafasi nzuri ya kushauri katika tafsiri na utekelezaji wa Katiba na sheria?"Alisema Havi.

Wakenya walitoa maoni yao baada ya matamshi ya Havi, na haya hapa baadhi ya maoni yao;

Balasundram Ravindran: When you were entering politics and chose to contest for an MP seat, I and many others warned you politics wasn't for you. Politicians hate to see people with conscience working for them. It's coz of that reason people like you and Miguna were not invited to take up any position.

Ndong: On this I agree with you. There is an URGENT NEED to include the LSK in that Panel by all standards. Now that PSC are all President's appointees. I do not see any legal, policy or practical reason why they should have a slot. PERIOD!

sam waweruh: We are having so many professionals being isolated from business deals and transactions