Muhtasari
- DPP awateua mawakili wawili a hadhi ya juu kwa miaka 2 zaidi
- Taib na Kihara walihusika katika uchunguzi dhidi ya naibu jaji mkuu Philomea Mwilu
Mkurugenzi wa mashtaka ya umm Noordin Haji amewateua Taib Ali Taib na James Kihara kama waendesha mashtaka wa serikali kwa miaka miwili Zaidi
Kupitia arifa ya gazeti rasmi la serikali Taib na Kihara watahudumu kuanzia januari tarehe 16 mwaka wa 2021 kwa miaka miwili .
" ... Baada ya kuhitimu kama mawakili wa serikali kwa miaka miwili Zaidi’ arifa hiyo imesema
Mawakili hao wawili wataisaidia afisi ya Haji kukabiliana uhalifu nchini tangu waanzishe jukumu la kupambana na visa vya ufisadi mwaka wa 2018 .
Kundi hilo lilikuwa sehemu ya mawakili waliosaidia katika uchunguzi wa madai ya ufisdi dhidi ya naibu jaji mkuu Philomena Mwilu