logo

NOW ON AIR

Listen in Live

DPP Haji awateua tena Taib, Kihara kama waendesha mashtaka wa serikali

DPP awateua mawakili wawili a hadhi ya juu kwa miaka 2 zaidi

image
na Radio Jambo

Yanayojiri20 November 2020 - 12:22

Muhtasari


  • DPP awateua mawakili wawili a hadhi ya juu kwa miaka 2 zaidi 
  •  Taib na Kihara walihusika katika uchunguzi dhidi ya naibu jaji mkuu Philomea Mwilu 

 

Mkurugenzi wa mashtaka ya umm Noordin Haji amewateua  Taib Ali Taib na James Kihara kama waendesha mashtaka wa serikali kwa miaka miwili Zaidi

Kupitia arifa ya gazeti rasmi la serikali  Taib  na Kihara watahudumu kuanzia januari  tarehe 16 mwaka wa 2021 kwa miaka miwili .

" ... Baada ya kuhitimu kama mawakili wa serikali kwa miaka miwili Zaidi’ arifa hiyo imesema

 Mawakili hao wawili wataisaidia afisi ya Haji  kukabiliana  uhalifu nchini tangu waanzishe jukumu la kupambana na visa vya ufisadi mwaka wa 2018 .

 Kundi hilo lilikuwa sehemu ya mawakili waliosaidia katika uchunguzi  wa madai ya ufisdi dhidi ya naibu jaji mkuu Philomena Mwilu


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved