logo

NOW ON AIR

Listen in Live

75 wapatikana na Corona huku 56 wakipona

Jumla ya sampuli zilizopimwa sasa ni 1,241,368  .Kutoka visa  hivyo 62 I wakenya ilhali 13 ni raia wa kigeni .

image
na Radio Jambo

Habari14 February 2021 - 12:43

Muhtasari


  • Jumla ya sampuli zilizopimwa sasa ni 1,241,368  .Kutoka visa  hivyo 62 I wakenya ilhali 13 ni raia wa kigeni .
  • Wanaumeni 48 ilhali wanawake ni 27 .Mgonjwa wa umri wa chini  ni mtoto wa miaka 5 ilhali wa umri wa juu ana miaka 89 .
Picha: REUTERS

Watu 75 wamepatikana na virusi vya Corona baada ya sampuli 3,025 kupimwa katika saa24 zilizopita  na kufikisha visa hivyo kuwa 102,867 .

Jumla ya sampuli zilizopimwa sasa ni 1,241,368  .Kutoka visa  hivyo 62 I wakenya ilhali 13 ni raia wa kigeni .Wanaumeni 48 ilhali wanawake ni 27 .Mgonjwa wa umri wa chini  ni mtoto wa miaka 5 ilhali wa umri wa juu ana miaka 89 .

 

Leo watu 56 wamepona ugonjwa huo  na kufikisha 85,008 idadi ya waliopona Corona hadi sasa .Hakuna maafa yaliyoripotiwa leo na idadi hiyo inasalia kuwa  1,795 . Kuna wagonjwa 347 waliolazwa hospitalini kote  nchini huku 1,275 wakiwa chini ya mpango wa kutunzwa nyumbani .Wagonjwa 33 wapo ICU

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved