Muhtasari
- Jumla ya sampuli zilizopimwa sasa ni 1,241,368 .Kutoka visa hivyo 62 I wakenya ilhali 13 ni raia wa kigeni .
- Wanaumeni 48 ilhali wanawake ni 27 .Mgonjwa wa umri wa chini ni mtoto wa miaka 5 ilhali wa umri wa juu ana miaka 89 .
Watu 75 wamepatikana na virusi vya Corona baada ya sampuli 3,025 kupimwa katika saa24 zilizopita na kufikisha visa hivyo kuwa 102,867 .
Jumla ya sampuli zilizopimwa sasa ni 1,241,368 .Kutoka visa hivyo 62 I wakenya ilhali 13 ni raia wa kigeni .Wanaumeni 48 ilhali wanawake ni 27 .Mgonjwa wa umri wa chini ni mtoto wa miaka 5 ilhali wa umri wa juu ana miaka 89 .
Leo watu 56 wamepona ugonjwa huo na kufikisha 85,008 idadi ya waliopona Corona hadi sasa .Hakuna maafa yaliyoripotiwa leo na idadi hiyo inasalia kuwa 1,795 . Kuna wagonjwa 347 waliolazwa hospitalini kote nchini huku 1,275 wakiwa chini ya mpango wa kutunzwa nyumbani .Wagonjwa 33 wapo ICU