logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Rais Samia Suluhu Hassan awasili nchini Kenya

Rais Samia Suluhu Hassan awasili nchini Kenya

image
na Radio Jambo

Burudani04 May 2021 - 06:40

Muhtasari


Ndege iliyokuwa imembeba Rais Suluhu ilitua katika ardhi ya Kenya takriban dakika 15 kabla ya saa nne asubuhi, alikuwa ameabiri ndege ya shirika la Air Tanzania.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia Suluhu Hassan amewasili katika uwanja wa ndege wa Kimatiafa Jomo Kenya.

Hii ni ziara yake ya kwanza nchini Kenya tangu alipochukuwa mamlaka ya kuongoza taifa hilo kufuatia kifo cha aliyekuwa rais John Pombe Magufuli.

Ndege iliyokuwa imembeba Rais Suluhu ilitua katika ardhi ya Kenya takriban dakika 15 kabla ya saa nne asubuhi, alikuwa ameabiri ndege ya shirika la Air Tanzania.

Wananchi wametahadharishwa kuwa huenda msafara wake ukaathjiri shughuli za kawaida katika barabara kuu ya Mombasa - Nairobi akielekea katika ikulu ya rais. 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved