logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Maafisa wa UDA wakamatwa kwa tuhuma za kununua vitambulisho Kakamega

Wawili hao wamekamatwa kwa madai ya kununua vitambulisho kutoka kwa wakazi wa wadi ya Shirere mjini kakamega.

image
na Radio Jambo

Burudani06 July 2021 - 04:52

Muhtasari


•Hata hivyo, mshirikishi wa chama hicho, Bi Damaris Ondisa amekanusha madai hayo  na kusema kuwa wanachokifanya ni kuwasajili wanachama kwa hiari.

UDA offices

Habari na Cyrus Akhonya

Maafisa wawili wa chama cha UDA kinachohusishwa na naibu rais William ruto wamekamatwa mjini kakamega kwa tuhuma za ulaghai.

Wawili hao wamekamatwa kwa madai ya kununua vitambulisho kutoka kwa wakazi wa wadi ya Shirere mjini kakamega.

Hata hivyo, mshirikishi wa chama hicho, Bi Damaris Ondisa amekanusha madai hayo  na kusema kuwa wanachokifanya ni kuwasajili wanachama kwa hiari.

Mengine yatafuata yanapojiri...


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved