logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Watu 3 wamekufa katika ajali ya barabara Makueni

Napaiyen alisema miili hiyo ilipelekwa katika Hospitali ya Tawa Level 4.

image
na Radio Jambo

Habari11 October 2021 - 18:39

Muhtasari


  • Watu watatu wamekufa katika ajali mbaya ya barabarani katika Kaunti ya Makueni

Watu watatu wamekufa katika ajali mbaya ya barabarani katika Kaunti ya Makueni.

Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Makueni Joseph Ole Napeiyan alisema watatu hao walifariki papo hapo baada ya magari mawili ya kibinafsi kugongana ana kwa ana karibu na kambi ya barabara ya China kando ya Barabara ya Tawa - Bumbuni katika kaunti ndogo ya Mbooni Mashariki.

Napaiyen alisema miili hiyo ilipelekwa katika Hospitali ya Tawa Level 4.

Waathiriwa watatu wa ajali wamelazwa katika kituo hicho cha afya.

Mengi yafuata;

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved