logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Rais Kenyatta ateua Roseline Odhiambo kuwa mwenyeketi wa KNCHR

Walioteuliwa ni ikiwemo na Dennis Wamalwa, Raymond Sang, Sarah Bonaya na Marion Wanjiku  ikisubiliwa kama Bunge litaidhinisha  majina hayo yaliyopendekezwa na Rais.

image
na

Habari29 December 2021 - 12:37

Muhtasari


•Rais aliteua wanachama  wanne katika KNCHR ambao watakuwa wanafakazi pamoja na Odede. 

Rais Uhuru Kenyatta, Jumatano amemteua Roseline Odhiambo Odede kuwa mwenyeketi wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibidamu ya Kenya(KNCHR)

Odede, ambaye ni  Wakili wa Mahakama Kuu, alikuwa jaji na makamu  mwenyekiti wa Bodi ya mahikimu kabla ya kuteuliwa kwake 

 Isitoshe, Rais aliteua wanachama  wanne katika KNCHR ambao watakuwa wanafakazi pamoja na Odede. 

Walioteuliwa ni ikiwemo na Dennis Wamalwa, Raymond Sang, Sarah Bonaya na Marion Wanjiku  ikisubiliwa kuona kama Bunge litaidhinisha  majina hayo yaliyopendekezwa na Rais.

Jopo hilo  mnamo Oktoba  liliapishwa  ofisini. Walioliunda  ni  William Ogara, Regina Mwatha, Jasper Mbiuki, Mary-Anne Njau, Kenneth Ombongi, Akhonya Mutubwa na Habiba Mohammed 

 Majina yaliyopendekezwa yatatumwa kwa Bunge kujadiliwa na na kama hakutakuwa na dosari kuidhinishwa. Bunge lina siku 28 za kukubali au kukataa mapendekezo hayo ambayo rais ameteua.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved