logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ruto amtakia Raila heri njema akiadhimisha miaka 77 ya Kuzaliwa

Kupitia ukurusa wake wa Twitter,Ruto  amemtakia Kinara waziri huyo mkuu wa zamani miaka mingi duniani.

image
na

Burudani07 January 2022 - 09:17

Muhtasari


• Naibu Rais William Ruto amemtumia Kinara wa ODM, Raila Odinga  ujumbe  wa kumtakia heri njema siku ya kuzaliwa

• Kupitia ukurusa wake wa Twitter,Ruto  amemtakia Kinara wa Azimio la Umoja  miaka mingi zaidi duniani.

kinara wa ODM Raila Odinga

Naibu Rais, William Ruto amemtumia Kinara wa wa ODM, Raila Odinga  ujumbe  wa kumtakia heri njema anapoadhimisha mwaka wa 77 tangu azaliwe.

Kupitia ukurusa wake wa Twitter,Ruto  amemtakia Kinara waziri huyo mkuu wa zamani miaka mingi duniani.

"Heri ya kuzaliwa Jacom. Ubarikiwe na  mengine  mengi. @RailaOdinga" Alinakiri Ruto

 

Raila anasherekea miaka 77 ya kuzaliwa. Viongozi mbali mbali wamemiminia ujumbe wa kumkatia heri njema siku ya kuzaliwa.

Ujumbe wa Naibu Rais umewashangaza wakenya, kwa sababu ni wiki mbili zilizopita ambapo Ruto alikuwa akisherekea siku ya kuzaliwa na Kinara wa ODM hakumtumia ujumbe wowote.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved