logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Moja kwa moja: Uhuru aongoza taifa katika kutazama mwili wa hayati Mwai Kibaki

Misa maalum ya wafu ya mwenda zake Kibaki itafanyika siku ya Ijumaa.

image
na Radio Jambo

Habari25 April 2022 - 07:32

Muhtasari


• Hafla ya kutazama mwili wa marehemu rais mustaafu Mwai Kibaki itachukuwa siku tatu. 

• Marehemu Kibaki atazikwa siku ya Jumamosi nyumbani kwake Othaya. 

Rais mustaafu Mwai Kibaki alifariki siku ya Ijumaa wiki iliyopita akiwa na umri wa miaka 90.

Alikuwa rais wa awamu ya tatu wa Kenya baada ya kuchukuwa usukani kutoka hayati rais Daniel Moi. 

Marehemu Kibaki atazikwa siku ya Jumamosi nyumbani kwake Othaya. 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved