Muhtasari
• Jamaa mmoja amejitokeza katika majengo ya bunge huku akilia kwa sauti ya juu akimuomboleza hayati rais Mwai Kibaki.
• “Mbona ulienda mapema hivi,” alisema huku akibubujikwa na machozi.
• Juhudi za maafisa wa polisi kumtuliza ili aruhusiwe kuingia ndani ya malango ya bunge kuutazama mwili wa Kibaki ziliambulia patupu.