logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kibali cha Walter Mong'are kuwania urais kimebatilishwa

Mgombea huyo sasa amefungiwa nje ya kinyang'anyiro cha urais Agosti 9.

image
na Radio Jambo

Habari06 June 2022 - 14:15

Muhtasari


  • Haya yanajiri wiki moja baada ya kuruhusiwa kuwania urais Jumatatu, Mei 30

Kibali cha mgombea urais Walter Mong'are kuwania kiti cha urais kimebatilishwa.

Mgombea huyo sasa amefungiwa nje ya kinyang'anyiro cha urais Agosti 9.

Haya yanajiri wiki moja baada ya kuruhusiwa kuwania urais Jumatatu, Mei 30.

Haya yanajiri pia baad ya tume ya uchaguzi IEBC kuangaza hadharani kumhoji mgombea urais huyo.

Wito huo ulikuja baada ya mgombea mwenza wa Jimi Wanjigi Willis Otieno, kuibua wasiwasi kuwa Mong'are hakupaswa kuondolewa kwa vile pia hana cheti cha shahada.

Wasiwasi ulikuja baada ya Wanjigi na mgombea mwenza wake kunyimwa kibali cha kushiriki.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved