logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Uchunguzi wa Shakahola: Mhubiri Ezekiel afika mbele ya Kamati ya Seneti

• Kamati hiyo inachunguza hali iliyopelekea vifo vya wafuasi wa mhubiri mwenye utata wa Kanisa la Good News International, Paul Mackenzie

image
na Radio Jambo

Makala13 October 2023 - 08:03

Muhtasari


• Kamati hiyo inachunguza hali iliyopelekea vifo vya wafuasi wa mhubiri mwenye utata wa Kanisa la Good News International, Paul Mackenzie

Mchungaji Ezekiel Odero.

Mhubiri na kiongozi wa kanisa la The New Life Prayer Center Ezekiel Odero na mhubiri mwenzake Pius Muiru leo wanafika ya Kamati maalum ya Seneti. 

Kamati hiyo inachunguza hali iliyopelekea vifo vya wafuasi wa mhubiri mwenye utata wa Kanisa la Good News International, Paul Mackenzie, ambaye kwa sasa anazuiliwa na polisi kwa makosa kashaa ikiweno mauaji na unyanyasaji wa watoto. 

Odero na Muiru wataandamana na mawakili wao wakiongozwa na Danstan Omari, Cliff Ombeta, Samson Nyaberi, na Shadrack Wambui.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved