logo

NOW ON AIR

Listen in Live

KCSE 2024: Matokeo ya watahiniwa 840 yafutiliwa mbali

"Kulikuwa na watahiniwa 840 ambao walihusika katika makosa ya mtihani 2024 na matokeo yao yamefutiliwa mbali," Ogamba alisema.

image
na Samuel Mainajournalist

Yanayojiri09 January 2025 - 12:42

Muhtasari


  • Waziri Ogamba mnamo Alhamisi alisema kuwa watahiniwa ambao matokeo yao yamefutiliwa mbali walihusika katika makosa ya mitihani.
  • Ogamba alifichua kuwa matokeo ya watahiniwa wengine 2829 wanaoshukiwa kuhusika na makosa ya mitihani yameshikiliwa.