
Taifa la Marekani kupitia kwa jenerali wake Afrika chini ya muungano wa Africom Jenerali Michael Langley lisema Rais wa Burkina Faso Ibrahim Traore anaharibu rasilimali za taifa.
Taifa hilo limesema kuwa rais Traore anatumia raslimali za taifa kujinufaisha pekee yake badala ya raslimali hizo ziwasaidie wananchi kwa miradi ya maendeleeo.
Itakumbukwa kuwa rais huyo wa Bukina Faso katika kipindi cha uongozi wake amekuwa akitekeleza maendeleo mengi kwa raia wa Burkina Faso tangu achukue hatamu za uongozi.
RaisTraore kwa siku chache zilizopita alionekana akipindua sera za serikali tangulizi na kuanzisha mkakati wa sera zake za serikali mpya ambazo zimeonekna zikizaa matunda.
Katika kiipindi cha muda mfupi uliopita rais Rais Traore alionekana akitangaza amri kadha ziweze kutekelezwa kwa namna moja au nyingine .
Kwa mfano katika maamuzi yake ya awali Traore aliweza kutangaza kwa kusema kuwa mali yote inayopatikana chini ya himaya ya taifa la Burkina Faso ilikuwa ni mali ya watu wa Bukina Faso na ilistahili kutumiwa kwa manufaa ya Wabukina faso.
Traore alitangaza kuwa hamna mwananchi wa taifa hilo ambaye atalipa ushuru wowote katika bidhaa za ununuzi.
Baada ya kutangaza hivyo hilo jambo liliweza kuwawacha wengi wakiwa katika hali ya mshangao kwa sababu hawakuweza kuamini ni kipi ambacho kilikuwa kikijiri kwa sababu kwa mara nyingi kuwaondolea wananchi jukumu la kulipa ushuru ilimaaanisha ulikuwa na viwango ambavyo ungeweza kujisimamie peke yako.
Hilo jambo liliwatua wengi nyoyo wakakosa kuamini ikiwa Taifa hilo litafanikisha sera hiyo ya kuwaondolea wananchi wake jukumu la kulipa ushuru.
Rais huyo siku ya jumatatu 21 Aprili,2025 aliweza kutangaza kuwa masomo yote katika taifa hilo yatakuwa ya bure kuanzia chekechea hadi chuo kikuu na uhitimu kwa kufahamu kuwa taifa lako limekugharamia.
Huo ni mkakati mojawapo ambao uliwahi kutumiwa na rais wa Libya Muamari Gaddafi ila akafariki baada ya kuwekewa vikwazo huku sababu yake kuu ya kuwaawa alikuwa na sauti ya kutaka afrika tuwe na safaru moja kama bara la Afrika, Nyenzo hiyo hiyo inasukwa na Traoze ndio inafanya maadhi ya mataifa ya magharibi kuweza kuhisi vibaya na uongozi wa Traore.