logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Shujaa:Tazama mchango wa Marehemu Tony Onyango katika raga ya kenya

Shujaa:Tazama mchango wa Marehemu Tony Onyango katika raga ya kenya

image
na

Burudani02 October 2020 - 05:29
tony Onyango 2
Mchezaji wa raga ya wachezaji saba kila upande Tony Onyango ameaga dunia . Ripoti zaarifu kwamba Onyango alianguka akiwa katika nyumba yake mtaani Ngong jana usiku na kufariki .

https://twitter.com/EricNjiiru/status/1235061468808097792

Aliichezea Kenya simbas  kuanzia aprili mwaka wa 2012  kwa miaka sita kabla ya kuhamia Homebpoyz na maajuzi amekuwa akiichezea KCB . Onyango alikuwa nahodha wa timu ya raga ya shule ya Maseno mwaka wa 2009 na pia aliichezea Kenya sevens katika msimu wa mwaka wa 2014/2015 chini ya kocha Paul Treu.

https://twitter.com/ItsMoe254/status/1235074720715943936

Mashabiki wengi wa raga  walituma risala zao za rambi rambi kwa familia yake baada ya kupata habari za kifo cha mchezaji huyo .

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved