logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hueng Min Son aanza majukumu rasmi ya kijeshi Korea Kusini

Hueng Min Son aanza majukumu rasmi ya kijeshi Korea Kusini

image
na

Habari02 October 2020 - 09:29
NA NICKSON TOSI

Mshambulizi wa Tottenham Heung-Min Son ameanza rasmi majukumu yake ya kutumikia taifa kama mwanajeshi baada ya kumaliza siku 21 akiwa kwenye karantini.

Hueng Min Son kuendelea na shughuli za kijeshi – Serikali ya Korea Kusini yasema

Mchezaji huyo wa miaka 27 anafanya kazi na kitengo cha Marine corps katika kisiwa cha Jeju ambapo ataendelea na mazoezi yake.

Katika mojawapo ya masharti ya taifa la Korea Kusini ni kuwa iwapo wewe ni mwanamume ambaye huna matatizo yoyote utahitajika kufanya kazi aghalabu kwa mwaka mmoja katika vikosi vya majeshi ya nchi hiyo.

Atakapokuwa akisherekea miaka 28, mchezaji huyo atakuwa akiendelea na mazoezi na wenzake katika kisiwa cha jeju.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved