logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Jaro Soja aanza kuwatengenezea mashabiki wa Gor Mahia maski

Jaro Soja aanza kuwatengenezea mashabiki wa Gor Mahia maski

image
na

Burudani02 October 2020 - 09:29
IMG_20200421_130629-scaled
NA NICKSON TOSI

Kutokana na kusitishwa kwa ligi ya humu nchini na nyingine nyingi duniani kutokana na Corona, Jaro Soja shabiki anayefahamika sana kutokana na mbwembwe zake wakati klabu ya Gor Mahia inapocheza, amesema kuwa hatua hiyo imemfanya kuanza mradi wa kutengeneza maski na kuwapatia mashabiki wa Gor ambao hawana uwezo wa kununua barakoa hizo.

Ubunifu wake wa kutengeneza barakoa unajiri siku chache tu baada ya waziri wa afya Mutahi Kagwe kutoa amri kila mkenya kuvalia vizuizi hivyo na kusema kuwa atakayepatikana akiwa hana maski atachukuliwa hatua na kulazimika kutoa faini ya shilingi 20,000 ama kufungwa gerezani.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved