logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Celtic watawazwa mabingwa wa Scotland -Skysport

Celtic watawazwa mabingwa wa Scotland -Skysport

image
na

Habari02 October 2020 - 09:14
skynews-celtic-scotland-football_4993169
Klabu inayoshiriki ligi kuu ya Scotland Celtic imetawazwa mabingwa wapya wa ligi hiyo baada ya serikli ya taifa hilo kuonegezea muda wa watu kusalia nyumbani kama njia ya kuhimili maambukizi ya corona.

Taarifa hizi zinajiri huku ligi kuu ya Uingereza ikitarajiwa kurejea Juni 12 baada ya wasimamizi kuafikiana na vilabu.

Wakati wanapotawazwa Celtic kama  mabingwa wapya,klabu ya Hearts imeshushwa ngazi kutoka kwa ligi hiyo baada ya kushikilia nafasi ya mwisho.

Ligi kuu ya Ujerumani ilichezwa wikendi hii huku hatua hiyo ikichochea ligi zingine ughaibuni kubuni mikakati ya kuhakikishi kuwa ligi zingine zinarejelewa.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved