Yakijiri hayo pia mwanariadha mwengine Japheth Kipchir chir Kipkorir amepigwa marufuku kwa kutumia dawa zilizokuwa zimekatazwa na shirika hilo.
AIU ilitoa taarifa hiyo ya kumpiga marufuku Mutai kupitia ukurasa wao wa Twitter .Marufuku hayo sasa yataanza kutekelezwa kuanzia mwezi huu.
Shirika la Anti Dopping Agency la kenya ADAK na lile la riadha nchini Athletics Kenya kwa miaka miwili sasa yamekuwa yakieneza hamasisho ya kuwataka wanariadha wa humu nchini kukoma kutumia dawa hizo.