Urusi ilikuwa imewasilisha kupinga hatua ya bodi ya World Anti-Doping Agencey WADA ya kuipiga marufuku ya miaka minne kutokana na hatua ya ongezeko la wanariadha wake kuendelea kutumia dawa za kusisimua misuli.
Kupitia ukurasa wa mtandao wa mahakama ya kusuluhisha mizozo ya michezo almaarufu kama Court of Arbitration for Sports CAS, Shirikisho la Riadha la Urusi limetangaza kupinga hatua hiyo.