Christiano Ronaldo azidi kutamalaki katika safu ya ufungaji mabao akiwa na timu ya Ureno huku akiwa amepachika mabao 133.Mpinzani wake wa jadi Lionel Messi ajikakamua na kufikisha jumla ya mabao 112 baada ya kupachika mabao matatu wakati Argentina ikicheza na Bolivia.
Messi ambaye alipata jeraha kiwiko cha mguu katika fainali ya CONMEBOL timu yake ikichukua ushindi dhidi ya Colombia kwenye mda wa ziada wa mechi,alirejea kwa kishindo huku akifunga mabo matatu na kutoa pasi iliyozalisha bao katika nafasi ya kuwania tikiti ya kucheza katika kipute cha CONMEBOL.
Mechi hiyo ilitamatika mabao sita kwqa sifuri huku wakiwa mabingwa watetezi katika taji hilo.
Mchezaji wa Napoli na taifa la Ubeligiji Romelu Lukaku,anatia fora katika oradha hii licha ya timu yake ya taifa kuwa na msururu wa matokeo duni.