logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanariadha Emmanuel Korir aondolewa kwenye mbio za mita 400 kwa kuanza vibaya

Korir hata hivyo atahusishwa kwenye mbio za semi fainali za mita 800 baada yake kuhitimu siku ya Jumamosi pamoja na Michael Saruni na Ferguson Rotich.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri01 August 2021 - 06:48

Muhtasari


•Korir ambaye alimaliza katika nafasi ya sita kwenye mashindano ya 2019 Word Championships aliondolewa nje ya mashindano ya kikundi cha nne baada yake kuanza kukimbia mapema kabla ya bastola ya kuashiria mbio kuanza kulia.

Mwanariadha Emmanuel Korir kutoka Kenya aliondolewa nje ya mashindano ya kuwania nafasi kwenye mbio za mita 400 yaliyofanyika Jumapili asubuhi kufuatia mwanzo mbaya.

Korir ambaye alimaliza katika nafasi ya sita kwenye mashindano ya 2019 Word Championships aliondolewa nje ya mashindano ya kikundi cha nne baada yake kuanza kukimbia mapema kabla ya bastola ya kuashiria mbio kung'oa nanga kulia.

Korir hata hivyo atahusishwa kwenye mbio za semi fainali za mita 800 baada yake kuhitimu siku ya Jumamosi pamoja na Michael Saruni na Ferguson Rotich.

Korir alikuwa na matumaini ya kufika fainali katika mbio za mita 400 na mita 800.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved