logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Benjamin Kigen anyakulia Kenya shaba katika mbio za mita 3000 kuruka viunzi

Kigen alitumia saa 8: 11.45 katika fainali ya wanaume kuruka viunzi.

image
na Radio Jambo

Habari02 August 2021 - 13:11

Muhtasari


  • Benjamin Kigen alinyakulia Kenya medali yake ya kwanza kwenye Olimpiki za Tokyo za 2020, baada ya kushinda shaba
  • Kigen alitumia saa 8: 11.45 katika fainali ya wanaume kuruka viunzi

Benjamin Kigen alinyakulia Kenya medali yake ya kwanza kwenye Olimpiki za Tokyo za 2020, baada ya kushinda shaba.

Kigen alitumia saa 8: 11.45 katika fainali ya wanaume kuruka viunzi.

Soufiane el Bakkani wa Morocco alishinda dhahabu wakati Ethiopia ilishika nafasi ya pili na fedha.

Utawala wa Kenya katika mbio za mita 3000 za kuruka viunzi kwa wanaume umevunjwa.

Mwishoni mwa wiki, Kigen alisema, "Jambo kuu lilikuwa kufuzu kwa fainali. Kulikuwa na kushindana na kusukuma wakati wa mbio na hata nilikanyagwa lakini sikujitoa kwa maana hii ni vita,"

Mengi yafuata;

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved