logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanariadha Abel Kipsang aandikisha rekodi mpya katika mbio za mita 1,500

Bingwa wa Dunia Timothy Cheruiyot alimaliza wa tatu katika kipindi cha  saa 3: 33.95

image
na Radio Jambo

Yanayojiri05 August 2021 - 12:41

Muhtasari


  • Mwanariadha Abel Kipsang aandikisha rekodi mpya katika mbio za mita 1,500

Abel Kipsang alivunja rekodi ya Olimpiki katika mbio za mita 1500,wanaume kwa kukimbia kwa muda wa 3:31:65 na kufuzu kuingia kwenye fainali ya mbio hizo.

Kipsang alikimbia kwa saa saa 3: 31.65 akiboresha alama ya awali iliyowekwa na bingwa wa zamani wa Olimpiki Noah Ngeny huko Sydney miaka ishirini iliyopita ya 3:32 07.

Nyota wa Norway Jakob Ingrebrigsten alimaliza wa pili mnamo 3: 32.13 wakati Josh Kerr wa Uingereza alikuja wa tatu mnamo 3: 32.18 na Adel Mechad wa Uhispania katika nne bora 3: 32.19 wakati Stewart Mcsweyn wa Australia alikuja wa tano mnamo 3: 32.54

Bingwa wa Dunia Timothy Cheruiyot alimaliza wa tatu katika kipindi cha  saa 3: 33.95. Charles Simotwo alikosa nafasi katika fainali baada ya kumaliza sita katika 3: 34.61.

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved