Muhtasari
•Gwiji huyo wa mbio za mita 100 alipokea tuzo hilo baada ya kuvunja rekodi ya bara Afrika katika mbio hizo kwenye mashindano ya Kip Keino Classic siku ya Jumamosi.
•Omanyala alimaliza mbio hizo kwa sekunde 9.77, milisekunde moja tu nyuma ya mshindi Brommel.
•Omanyala alishukuru kampuni hiyo kwa kumsaidia katika safari yake ya riadha na kushauri wanariadha wenzake kutia bidii kubwa na kutokata tamaa kuhusiana na ndoto zao.