logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wasiwasi baada ya mchezaji wa Tottenham kuzirai uwanjani wakati wa mechi dhidi ya Liverpool

Bentacur alianguka chini bila kutegwa au kusukumwa alipokuwa akijinyoosha kupiga mpira wa kona kwa kichwa.

image
na Samuel Mainajournalist

Football09 January 2025 - 04:41

Muhtasari


  • Bentancur alitolewa nje kwa machela baada ya kucheza dakika sita tu za mechi ya Jumatano ya nusu fainali ya Kombe la Carabao dhidi ya Liverpool.
  • Uzito wa tukio hilo ulithibitishwa wakati Bentancur alipohitaji oksijeni uwanjani kabla ya kusogezwa kwa uangalifu zaidi.

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved